Jarida la Wanafunzi wa Kiswahili

      Toleo la nne (Spring 99). Someni kwa furaha!

      ==========================================================

      Likizo ya Florida

      na Marton Markovits (Salim), mwanafunzi wa mwaka wa kwanza

      Nilisafiri jimbo la Florida pamoja na mke wangu na Baba na Mama yake mwezi wa Februari. Annie na mimi tulikwenda kwa ndege Alhamisi, Februari kumi na nane. Tulikwenda kwa sababu tulitaka kumshangaza Baba mkwe wangu kwa siku yake ya kuzaliwa. Alitimia miaka sabini.

      Tulikwenda bustani ya Disney kila siku wakati tulipokuwa katika Florida. Siku ya kwanza tulikwenda ÒMagic KingdomÓ. Kule tuliangalia nyumba ya Mickey Mouse, maandamano ya watu wa Filamu ya Disney na tulipanda Michezo mingi ya kuzunguka. Katika picha ya tatu Annie anapiga picha Mama mkwe wangu na mimi wakati tunazungumza kuhusu ÒSpace Mountain.Ó Siku hii ni nzuri na tulikuwa na wakati mzuri.

      Siku ya pili na ya tatu tulikwenda bustani ya Epcot. Tulitembea sana na tuliangalia sehemu za nchi mbalimbali ambazo zinazunguka ziwa. Baada ya kutembea sana tulikuwa na njaa sana, tulichoka na kulikuwa na baridi nje, kwa hivyo tulikwenda kula katika hoteli ya Kitaliana. Chakula huko ni kizuri na kingi na tulikuwa na furaha usiku huu.

      Siku ya tatu tulirudi bustani ya Epcot kuwanunulia zawadi rafiki yetu. Siku hii ilikuwa na baridi sana na ilinyesha kidogo. Baba mkwe wangu na mimi tulikuwa wagonjwa pia. Nilikuwa na homa kidogo na niliumwa na koo, kwa hivyo tulirudi Hotelini kwetu kupumzika kidogo. Huko tulilala kidogo na tuliangalia televisheni huku Annie na Mama yake walikwenda madukani.

      Ijapokuwa hatukutaka kuondoka ilikuwa Likizo nzuri!

      *************************************

      Ngoma ya Steel Pan (sufuria)

      na Alana Rose (Zahara), mwanafunzi wa mwaka wa kwanza

      NIlicheza ngoma ya Trinidad ambayo jina lake ni "steel pan" kwa kingereza, shuleni kwangu. Nilicheza ngoma kwa miaka miwili. Kundi zetu ilikuwa na wachezaji kumi na mbili na sufuria sita tofauti. Watu wengi tulipenda kucheza ngoma lakini sufuria ni ghali na shule yangu tu ilikuwa na kumi na mbili. Mwanaume alizifanya sufuria zetu. Alitoka Trinidad na anakaa Boston. Sufuria zifanana debe la taka lakini muziki ni mzuri. Zikumbusha watu wengi wa "carribbean".

      Ninapenda kucheza sufuria yangu. Ni vitu vichache ambayo ninapenda kufanya zaidi ya kucheza ngoma. Marafiki zangu wanacheza ngoma pia, na mazoezi yetu ni sehemu bora ya siku. Tulicheza masaa manne kwa siku ya wiki kwasababu wachezaji wote walicheza michezo pia. Lakini kwa kawaida wachezaji wali chukua ngoma nyumbani kucheza. Walisikiliza muziki wa ngoma ya Trinidad sana kabla ya kucheza. Katika kundi letu walikuwa na ngoma ya Afrika pia namna ya njembe. Kundi letu tulisafiri sana. Tulisafiri Massechusetts na New Hampshire sana na sehemu zote za Maine. Ngoma yetu ilikwenda kwa motokaa moja na wachezaji walikwenda kwa nyengine.

      Tulihifadhi. Ngoma yangu jina lake ni "tenor" na ina thelathini sauti tofauti . Ngoma yangu ilifanya zamuzik za juu. Ngoma jina lake ni "Bass" ilifanya zamuzik za cheni. Nyngine ngoma lifanya sauti katikati.

      ************************************

      Kitabu 'Afrika nyengine'

      na Aviah Cohen (Dalila), mwanafunzi wa mwaka wa kwanza

      Kitabu hiki jina lake ni Afrika Nyengine. Katika kitabu hiki kuna picha na tenzi za Afrika. Robert Lyons alipiga picha na Chinua Achebe aliandika tenzi. Chinua Achebe ni mwandishi mashuhuri. Anatoka Nigeria lakini anakaa Marekani sasa. Achebe ni mwalimu katika chuo kiku cha Bard. Ameandika vitabu vingi kama hivi Things Fall Apart na No Longer At Ease. Anaandika juu ya jamii kwa Afrika ambazo zina matatizo kwa Wazungu. Achebe na Lyons wamefanya kazi sana kujitahidi kitabu hiki amacho ni cha pekee.

      Robert Lyons alipiga picha vya vitu tofauti katika Afrika. Afrika Nyengine ni kitabu ambacho kinaonyesha tofauti mahali ya Afrika. Katika kitabu hiki kuna picha za jangwa, bahari na majani. Picha hii ni jangwa ya Mali. Picha hii ni majani ya Uganda.

      Picha hii ni bahari ya Zanzibar. Katika kitabu hiki kuna picha za watu na picha za wanyama. Katika picha hii watu wanapumzika. Katika picha hii mwanamume anafanya kazi sana katika Mali. Katika picha hii watu wamevaa mavazi ya kienyeji. Katika picha hii mwanamke hajavai mavazi ya kienyeji. Amevaa nguo kama hapa.

      Picha zote katika kitabu hiki ni nzuri. Tenzi ni nzuri pia. Afrika ni bara mkubwa ambalo lina makabila mengi. Afrika Nyengine kijaribu kunaonyesha tofauti vitu.

      **************************************

      Likizo ya Kiangazi

      na Miriam Ackerman (Lela), mwanafunzi wa mwaka wa kwanza

      Wakati wa likizo yangu ya kiangazi, katikati ya mwaka wa pili wa shule ya sekondari na mwaka wangu wa tatu, nilisafiri Barbados. Barbados ni kisiwa katika bahari kuu Atlantika. Nilizuru Barbados kwa mwezi mmoja [Julai elfu mojia mia tisa tisiini na sita (1996)]. Nilikewnda na wanafunzi wengine. Tulisafiri Barbados kwa ndege. Tulifanya “kazi ya jamii” katika Barbados. Tulikaa nyumbani katika shule ya watu ambo hawana akili nzuri. Pale, tulimfundisha, tuliyapaka manyumba, na tulipika. Kutumia maembe na sukari, au thumu, wanafunzi wa skuli walipika michuzi, 'jam' na 'chutney' kuuza. Nilimsaidia kupika; nilimenya thomu. Pia, nilifanya kazi katiki hoteli na hospitali ya watoto. Hospitalini, nilimsema watoto. Tulicheza mchezo wa “video” jina lake ni 'Brick' na michezo ya kadi, na michezo ya maneno, kama “hangman.” Hotelini, rafiki yangu na mimi, tulizikosha meza. Tulikula sana, pia! Kwa kuwa hoteli ni kando bahari, wanaogeleaji na wanamaji walikula katika hoteli. Pindi hatukufanya kazi, tulikula, tulikwenda ufukoni na tuliogelea, na tulisafiri kisiwani. Usiku, tuliangalia telivisheni nyumbani au tulikwenda kucheza dansa katika mji. Nilifurahia Barbados, Barbados ni nzuri, lakini sikufurahia watoto wengine ambawo pamoja na nilisafiri. Kama mtaaenda Barbados, natumai hamtaenda na watoto kama watoto ambao nilwkenda nao!

      Mwinyi, mchezaji wa Baseball

      na Chris Clemons, mwanafunzi wa mwaka wa kwanza

      Wakati wa miezi ya Machi, Aprili, Mei, na miezi yote ya Kiangazi, ninataka kucheza baseball. Muda wa miaka minne ya shule ya sekondari nilicheza baseball. Baseball ni mchezo wa nchi ya Marekani kama mpira wa miguu (soka) ni mchezo wa nchi ya Tanzania na Kenya.

      Ili kucheza baseball, ni lazima kuwe na walau watu kumi. Tisa kucheza kiwanjani au kinga, na walau mtu mmoja kucheza mpigaji. Moja wa micheza wa shamba, ÔpitcherÕ, au mtu ambaye anarusha mpira wa baseball, anarusha mpira wa baseball na mpigaji anajaribu kupiga mpira. Kama mpigaji hawezi kupiga mpira mara tatu, mpigaji anatoka nje. Kama mpigaji anaweza kupiga mpira, anakimbia kituo cha kwanza. Kama mpigaji anafika kituo cha kwanza kabla ya mchezaji wa kinga hakudaka mpira, mpigaji ameokoka Ôhe is safeÕ.

      Katika Marekani, watu wa Marekani wanapenda baseball sana. Baba na watoto wanaenda michezo ya baseball mara kwa mara. Karibu watoto wote wa Marekani walicheza baseball au softball (mchezo kama baseball) walau mkati mmoja katika maisha wangu. Mnamo Oktoba watu wa Marekani wengi wanaangalia 'The World Series' katika televisheni. “The World Series” ni mkasa maalum katika Marekani.

      Nimeandika baseball kwa sababu ninapenda mchezo wa baseball sana. Ninapenda mchezo wa baseball kwa sababu nilicheza baseball miaka kumi. Nilicheza 'pitcher' na nilipenda kurusha kitonge cha baseball. Ninafikiri kwamba nilirusha kitonge cha baseball kizuri muda wa miaka yangu ya kucheza baseball. Muda wa miaka iliyopita ya schule ya sekondari, Chuo Kikuu Cha Notre Dame ilinitaka kucheza baseball kwa Chuo Kikuu Cha Notre Dame. Nilitaka kuwenda Notre Dame ili kucheza baseball sana, lakini niliujeruhi mkono wangu na siliweza kucheza baseball tena. Sina kichaa, pengine vitu vinajiri, lakini ninapenda baseball bado, na ninaangalia baseball katika televisheni mara kwa mara.

      Safari ya Amerika ya kusini

      na Meredith Rapkin (Masika), mwanafunzi wa mwaka wa kwanza

      Mwaka tisini na nane, mwezi wa Februari, nilisafiri Amerika ya kusini, nchi ya Uchile. Rafiki yangu anakaa katika mji wa santiago. Yeye ni mwandishi wa habari kutoka Uchile, kwa njia ya internet. Jina lake ni Dana. Katika Uchile nilisafiri pwani. Nilitembelea nyumba ya Pablo Neruda. Yeye ni mshairi na alitoka Uchile. Pia, nilisafiri kusini ya Uchile. Huko kuna kondoo wengi na milima mikubwa. Kuna maziwa mengi pia.

      Baada ya kusafiri katika Uchile wiki mbili, tulisafiri, dana na mimi, Ubolivia kwa ndege. Tulifika La Paz na huko tulisikiliza musiki na tulitembelea sehemu mbalimbali.Tulisafiri kichakani na jangwani pia katika Ubolivia. Yulienda Ubolivia mnamo "carnaval", kwa hivyo tuliona sherehe nyingi. Kuna utamaduni mmoja sipendi. Watoto wanarusha mabaluni ya maji. Nilipata maji mara nyingi. Pia, tulisafiri katika ziwa Titicaca na "kisiwa cha jua". Na baada ya kutembelea "kisiwa cha jua" tulienda Uperu kwa gari la moshi. Tulitembelea Maachu Pichu, karibu na mji wa Cuzco. Maachu Pichu iko juu ya mlima mmoja katika milima ya Andes. Mara ya pili tulifika Santiago baada ya kusafiri mwezi moja.

      Kuandika mashairi

      na Tanaji Gillian (Asante), mwanafunzi wa mwaka wa kwanza

      Mimi ninapenda kuandika mashairi. Nilianza kuandika mashairi tangu nilipokuwa na miaka misaba. Shairi langu la kwanza ni juu ya uhuru wa Afrika ya Kusini, tenzi juu ya "Apartheid." Sasa ninaandika mashairi juu ya mada nyingi. Mimi ni mwanachama wa "Assata." Assata ni kikundi cha wanafunzi wanawake watano. Sote tunahudhuria Chuokikuu cha Penn. Majina yetu ni Tanji, Jamarah, Sishu, Mecca na Ninah. Tulisoma mashairi yetu hapa Penn na tulisoma katika Chuokikuu cha Jimbo la New Jersey pia. Shabaha zetu ni kuwa na mayonesho na kurekudi "a C.D." Shairi langu bora zaidi ni "The Real Hip-Hop" lakini mimi nina shairi la Kiswahili. Jina la shairi ni "Umoja ni Nguvu"

      Umoja ni Nguvu

      Watoto wa Afrika
      Karibu na mbali
      Ni lazima turidi
      Hadi asili ya uzazi

      Children of Africa
      Near and far
      We must return
      To the womb

      Siku kabla ya ukoloni
      Mateso ya wanaume wenye wivu
      Ni lazima tushike
      Uhuru wetu tena

      Days before colonization,
      The curse of jealous men
      We must seize our freedom
      Again

      Jamaa zetu ni wengi
      Ndugu zetu wanakaaMbr> Katika nchi zote
      duniani

      Our family is numerous
      Our siblings live
      In every country
      On Earth

      Umoja ni nguvu
      Tunahitajiana sisi kwa sisi
      Kwa kukumbatiana
      Tunarudia nyumbani

      Unity is strength
      We need each other
      With our embrace
      We return home

      ========================================

      Madaktari bila Mipaka

      na Camille Henry, mwanafunzi wa mwaka wa kwanza

      Madaktari Bila Mipaka
      Doctors Without Borders
      Medicine Sans Frontieres

      Maaktari Bila Mipaka (MBM) ni shirika ambalo linawasaidia watu katika hali ya hatari. Ni shirika kwa Ufaransa lakini linafanya kazi katika nchi nyingi kwa duniani. MBM lipo Afrika, nchi za Asia, Amerika na Ulaya. Watu kama madaktari, wawuguzi (nurses) na wafanyakazi wa afia wanajilotea wakati wa misiba ambayo watu wanapata vita, njaa kuu, ugonjwa na matetemeko ya ardhi. Wanasaidia watu na watoto ambao wanaelekea kupatwa na cholera au ugonjwa wa kuambuzika ya Ebola , malaria, kutopata chakula cha kutosha.

      Watu ambao wanajitolea wapo pote katika Afrika kama nchi za Tanzania na Kenya. Katika 1997, kulikuwa mvua kubwa katika Tanzania. Halafu, watu wengi walipata ugonjwa na cholera katika sehemu za Kigoma (katika magharibi na kaskazini), Dar-Es-Salaam, Mtwara (katika mashariki ya kusini) na Zanzibar. Waliwapa dawa wagonjwa, walisaidia kusafisha maji ya kunwya na waliwafundisha wafanyakazi wa afia wa Tanzania. Sasa katika Kigoma pia wanawasaidia katika hospitali wakimbizi wa Zaire na Rwanda ambao wametoroka vitu na mauwaji katika nchi zao.

      Katika nyumba za wamaskini wa Nairobi (kama Mathare, Dandora, Kibera na Pumwani) wafanyakazi wa MBM wanafanya maazimio ya afiya ili wapigane na UKIMWI pamoja na Wakenya. Katika sehemu za Laikipia na Njoro na Likoni, madaktari wa MBM wanafanya kazi na watu elfu kumi na tatu, mia tano, na waliipiga chanja ya surua, walitoa dawa na kadhalika. Ninayapenda mashirika kama Maktari Bila Mipaka kwa sababu yanawasaidia watu maskini wo wote, bila ujira na bila ya ubaguzi.

      shirika - organisation
      hatari - danger/peril/risk
      wawuguzi - nurses
      wafanyakazi wa afia - health workers
      kujitolea - to volunteer
      misiba - emergencies
      vita - war
      njaa kuu - famine
      ugonjwa - disease
      matetemeko ya ardhi - earthquakes
      kutopata chakula cha kutosha - malnutrition.
      wakimbizi - refugees
      wanatoroka (Kutoroka) - to flee mauwaji - killings
      maazimio ya afiya - health programmes
      kupigana na - fight against
      UKIMWI - AIDS (Upungufa wa Kinga Mwilini)
      ujira - pay, salary
      ubaguzi - discrimination
      ==========================================

      Kuchonga

      na Mathew Simon (Bakari), mwanafunzi wa mwaka wa kwanza

      Mimi ni mchongaji. Kuchonga ni kufanya vitu kwa miti. Sijafundishwa vipi kufanya sanaa, lakini ninajaribu kujifundisha. Ninapenda kufanya vitu kwa kutumia miti. Nimefanya sanamu za nyuso na vichwa na mwili wote. Pia nimefanya ngao na ngoma ndogo.

      Kufanya vitu hivi ninatumia vyombo vya mkono. Vyombo vingine nilijinunulia. Nina visu vikali na vyombo vingine vikali ambavyo ninatumia. Pia nimefanya vyombo vingine au nimebadili vingine ili vifanye vizuri zaidi. Vyombo vingine nilipewa. Baba yangu alinipa panga lake. Alilitumia kukata miwa. Kwasababu sasa hakai karibu na miwa na hahitaji kukata miwa, Baba yangu alinipa panga yake. Nilifanya likali na ninalitumia kuchonga.

      Ninatumia panga kuondoa maganda ya miti na kukata vipande vikubwa. Ninatumia visu kukata vipande vidogo. Baadhi ya wakati ninafanya picha kabla ya kuchonga.

      Baada ya kufany umbo, ninatumia msasa. Msasa ni karatasi ya mchanga. Msasa huu uondoa vipande vidogo vidogo. Baada ya kutumia msasa ninamaliza kwa kutumia polish kupaka rangi mti.

      Baadhi ya wakati nimepoteza vitu ambavyo nimefanya. Baadhi ya wakati ninawapa vitu rafiki yangu. Kuna vitu viwili nilivyofanya lakini havijamalizika. Vitu viwili ni sanaa ya vichwa.

      MCHEZO WA MANENO

      Maneno gani yenye herufi nne au zaidi unaweza kuyatoa kwenye neno TULIKWENDA?

      Niandikie.

      *************************************
      Toleo la kwanza

      Toleo la pili

      Toleo la tatu

      Rudi ukurasa mkuu wa Kiswahili

      *************************************

      Last Modified: Aprili 29, 1999
      Alwiya S. Omar, asomar@babel.ling.upenn.edu
      African Language Coordinator