Nyimbo hizi zimeimbwa katika darasa la Kiswahili la televsheni kwa ajili ya shule za Philadelphia.
Mwalimu wa darasa: Dr. Alwiya S. Omar
Jambo, Jambo sana!
Habari gani? Nzuri sana.
Wanafunzi, wakaribishwa.
Darasani kwetu, hakuna matata.
Walimu wetu, Hakuna matata.
Na wanafunzi wetu , Hakuna matata.
Shuleni kwetu, Hakuna matata.
Moja, mbili, tatu
Nne, tano, sita
Saba, nane, tisa
Kumi ni ya mwisho
Sasa tunaka kuhesabu tena
Kwahivyo tuanze moja mpaka kumi
3. Kichwa, vidole
SikilizaKichwa, vidole, mabega magoti
Mabega, magoti, mabega, magoti.
Kichwa, vidole, mabega, magoti.
Macho, pua, masikio.
4. Wimbo wa Taifa wa Tanzania
SikilizaMungu ibariki Afrika
Wabariki viongozi wake
Hekima, umoja na amani
Hizi ni ngao zetu
Afrika na watu wake
Ibariki. Afrika
Ibariki. Afrika
Tubariki watoto wa Afrika
========Waimbaji=========
Khadija Shariff, Talha Omar, Idarousse Shariff, na Mustafa Shariff5. Wimbo wa Taifa wa Kenya
Sikiliza Ee Mungu nguvu yetu
Ilete baraka kwetu
Haki iwe ngao na mlinzi
Na tukae na undungu
Amani na uhuru
Raha tupate na ustawi
Nenda ukurasa waTuzungumze Kiswahili