Maamkio baina ya mwanafunzi na mwalimu.Mwanafunzi: Hodi
Mwalimu Alwiya: Karibu
Mwanafunzi: Asante. Shikamoo, mwalimu.
Mwalimu Alwiya: Marahaba. Habari gani?
Mwanafunzi: Salama.
Mwalimu Alwiya: Hujambo?
Mwanafunzi: Sijambo. Na wewe je, hujambo?
Mwalimu Alwiya: Sijambo. Jina lako ni nani?
Mwanafunzi: Jina langu ni Tonya.
Video
(If
you have not install Real Audio/Video Player in your computer, do it
now from Real
Audio Web Site )
Last Modified: January 16th, 1998