Kiswahili Reading no. 1
Click here to hear it.
Or try this alternate location.
If you didn't install Real Audio Player in your computer, download it from Real Audio Web Site

  • Listen to the story
  • Fill-out the blanks with the words you hear
  • Answer questions
  • Write a brief narration about what you listen
  • Mail the answers to your teacher.

    ZOEZI LA KWANZA
    Ukoo wangu
    Ukoo si mkubwa . Nina baba na mama na wawili. Baba jina lake Hamisi Mashaka. Yeye ni . Mama yangu lake ni Mariam Mashauri. Yeye ni mkulima . Vile vile mama nyumba yetu. Ndugu yangu jina lake ni Bakari na ni Hadija. Hadija ni wa shule ya . Anasoma darasa la . Mimi ninasoma Kikuu cha Dar-es-salaam. Ninasoma ya lugha. Bakari si mwanafunzi. Yeye ni katika ofisi ya . Mimi ninakaa kwenye moja la Chuo Kikuu. Bakari ana yake sasa lakini nyumbani kwa wazazi kila siku ya .

    Maswali
    On-line exercise: Answer the following questions and send them to your instructor.


    1. Ukoo wa mwandishi una watu wangapi?

    2. Nani alizaliwa mwisho?

    3. Bakari anafanya kazi gani?

    4. Hadija na Bakari wana uhusiano gani na mwandishi?

    5. Eleza nani anafanya kazi zaidi--mama au baba yangu?

    6. Lini mwandishi anaonana na Bakari?

    7. Write a short essay based on the story

    Enter your instructor's email:
    Your name:
    Your email: